Tuesday, December 29, 2009

hepi besdei ya siku ya kuzaliwa profesa mwandosya Jana
Profesa Mark Mwandosya akilishwa keki na mjukuu wake jana wakati wa hepi besdei yake ya kuzaliwa iliyofanyika kijijini kwake Lufilyo, Rungwe. jana kagota miaka 60
Profesa Mwandosya akipokea zawadi toka kwa wajukuu akisaidiwa na mwanae

No comments: