Saturday, December 19, 2009

mohamed trans iliyoua 19 same

Basi la Kampuni ya Mohamed Trans lenye namba za usajili T810 BCB likiwa limeharibika vibaya baada ya kugogana na gari dogo aina ya Toyota Coaster katika Kijiji cha Kandoto wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, juzi na kusababiha vifo vya watu 19 papo hapo na wengine 40 kujeruhiwa. Picha na Grace Macha wa Same.

No comments: