Friday, December 4, 2009

Ni Mwaka Wa Chelsea England?
Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu ya England (Premium Liege)imeonesha mafanikio ya hali ya juu katika mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo. Hii imeibua maswali kadhaa miongoni mwa wadau wa soka na wengine wameshatabiri kwamba kama itaendelea na mwendo huo lazima itautwaa ubingwa wa soka nchini humo. Hadi sasa Chelsea tayari imeshinda mechi zote dhidi ya klabu kubwa za nchini humo(The Big Four)

Kocha mkuu wa klabu ya Chelse Carlo Ancheloti

Mshambuliaji hatari wa klabu ya Chelsea, Didier Drogba akifunga mojawapo ya magoli uwanjani.

Mshambuliaji hatari wa klabu ya Chelsea, Didier Drogba akishangilia mojawapo ya magoli yake msimu huu.

Wachezaji wa Chelsea wakiwa katika picha ya pamoja.

Wacheaji wa timu ya Chelsea-The blues wakiwa katika harakati mbalimbali za mafanikio ya soka.

No comments: