Tuesday, December 29, 2009

kelvin na gatty wameremeta
mdau kelvin na mai waifu wake gatty wakiselebuka wakati wa mnuso wao ukumbi wa hellenic club jijini wikiendi ilopita baada ya kumeremeta kanisa la St. Alban. Chini wakila keki kwa pamoja kuonesha wao sasa ni mwili mmoja na binadamu hawatenganishi

Hongera jombi kwa kupata jiko na kutuonyesha njia madogo zako huku nyuma. Nawatakia kila la kheri katika maisha yenu na pia muendelee kuwa na furaha katika maisha yenu yote kama hapo mlivyo hapa Duniani ni hayo tu .
Anko Kadidi.


No comments: