Tuesday, December 29, 2009

promosheni ya shangilia taifa stars yazinduliwa jana
Meneja uhusiano wa kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda akiwa na wachezaji wa timu ya Taifa walioshika jezi zenye majina yao jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya shangilia taifa stars ishinde jana kwenye kiwanda cha Serengeti jijini Dar.

Promosheni ya shangilia Taifa Stars inaanza leo kabla timu hiyo kucheza michezo miwili ya kirafiki na timu ya Taifa ya Ivory Cast Januari 4 na 7 jijini Dar.
Ivory Coast inajiandaa na mashindano ya kombe la mataifa huru ya Afrika yanayotarajiwa kuanza mwezi ujao nchini Angola.
Promosheni hiyo itawafanya mashabiki mbalimbali wa soka katika baa mbalimbali kujishindia zawadi mbalimbali na jezi za timu ya Taifa pamoja na tiketi za kuingilia katika michezo hiyo neshno

No comments: