promosheni ya shangilia taifa stars yazinduliwa jana

Promosheni ya shangilia Taifa Stars inaanza leo kabla timu hiyo kucheza michezo miwili ya kirafiki na timu ya Taifa ya Ivory Cast Januari 4 na 7 jijini Dar.
Ivory Coast inajiandaa na mashindano ya kombe la mataifa huru ya Afrika yanayotarajiwa kuanza mwezi ujao nchini Angola.
Promosheni hiyo itawafanya mashabiki mbalimbali wa soka katika baa mbalimbali kujishindia zawadi mbalimbali na jezi za timu ya Taifa pamoja na tiketi za kuingilia katika michezo hiyo neshno
No comments:
Post a Comment