Saturday, December 19, 2009

JK awafariji waliokumbwa na maafa Same

JK akiweka shada la maua katika makaburi ya watu kumi na nne wa familia moja ya Shumbi walofariki dunia kutokana na maporomokoa ya udongo kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika kijiji cha Mamba Miamba,wilayani Same,Mkoa wa Kilimanjaro mwezi uliopita.Rais kikwete alifanya ziara maalumu kijijini hapo ili kuwafariji wafiwa na kujionea uharibifu wa mali uliotokana na mvua hiyo. JK akiwahutubia jana wananchi wa Kijiji cha Mamba Miamba wilayani Same wakati wa ziara maalumu ya kuwafariji kufuatia mvua kubwa iliyoleta maafa na kuharibika kwa mali.
Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu


No comments: