Monday, December 14, 2009

tumjadili marcio maximo
kocha wa Taifa Stars Marcio Maximo yuko katika lala salama ya mkataba wake na hivi sasa anaifundisha timu ya bara Kilimanjaro Stars kwenye michuano ya chalenji ambapo baada ya kutolewa na Rwanda kwenye nusu fainali itapambana na ndugu zao Zanzibar Stars kuwanua nafasi ya tatu. wadau karibuni katika mjadala wa kumjadili kocha huyu bila kutumia maneno ya jazba na pia tuje na mawazo mbadala.

No comments: