Thursday, December 31, 2009

AJALI ENEO LA KWENKULU KARIBU NA MKATA
kama kawaida magari yatokayo Dar yalikuta kuna foleni ndefu sehemu ya ajali ambapo Lori lililodondoka katikati ya barabara na kuziba njia katika kijiji cha kwenkulu wilayani handeni ktk barbar kuu iendayo arusha
Lori la kijani lilijaribu kuinua bila mafanikio
Likaja kiboko yake Lori la TANESCO ndio likaliinua na kulitoa barbarani
mwishowe lilisalim amri na kuinuka na safari zikaanza kama kawa.
hakuna aliyeumia na bidhaa yote ya matairi ilibaki salama
Picha na KAM wa Globu ya Jamii

No comments: