Friday, December 4, 2009

Je, Ni Vibaya Kwa Mwanammke Kumtongoza Mwanamme?


Je, ni vibaya kwa mwanammke kumtongoza mwanamme?
- Katika mila na tamaduni zetu inachukuliwa si uanauke kwa mwanammke kuwa wa kwanza kuchukua hatua ya kumtongoza mwanamme. Na mwanamme anadhani anatarajiwa ( dhana potofu) kuwa awe ‘ simba wa kumrarua’ mwanamke. Inakuwaje basi, pale mwananmke anapomtamani mwanamme kimapenzi na mwanamme asielewe kwa haraka kama amependwa? Ni vibaya kwa mwanamke kuanza kumtongoza mwanamme? Fuatili pia mada hii kwenye; http://www.kwanzajamii.com

No comments: