Tuesday, December 29, 2009

nyundo mtindo mmoja dar
bomoa bomoa ya majengo makuukuu kupisha mapya inaendelea kwa kasi jijini dar, ingawa kasi hiyo haijaelekezwa pia katika miundombinu kama vile mifereji ya maji taka na safi, sehemu za maegesho na kadhalika. bila shaka wahusika wanajua wanachokifanya. hapa ni katika mduara wa mtaa wa jamhuri karibu na DTV

No comments: