Visura wa Miss Tanzania 2008
Watua Mwanza...
Warembo hao watashiriki tamasha la michezo katika ukumbi wa Benki ya Tanzania (BoT) baadaye watatembelea watoto yatima na kisha leo watakwenda Mara ambako watazuru kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.Walipowasili walipokewa na mamia ya wakazi wa Mwanza wakiongozwa na Dk Msekela.
No comments:
Post a Comment