Wednesday, July 30, 2008

Ajali ya Chacha
Wangwe...



Pichani ni gari lililohitimisha maisha ya Mbunge wa Tarime,Mh Chacha Wangwe(Chadema)ambacho kimeshtua Bunge na serikali kutokana na utata wa mazingira ya ajali yenyewe,hivyo kulazimisha uchunguzi.Picha kwa Msaada wa Mdau Faraja Tranquilino wa Dodoma

No comments: