Thursday, July 31, 2008

Chacha enzi za uhai wake baada ya kunyoa rasta!
Gari alilokula nalo mzinga likiwa linaondolewa barabarani maeneo ya Pandambili, Dodoma juzi.
Mallya, jamaa aliyekuwa na Chacha katika gari lililopata ajali.
Rais kikwete akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Chacha.
Gari lililohitimisha maisha ya Chacha likiwa limeharibika vibaya, watu wanajiuliza kumbe huyu mtu hakuwa Fisadi alitumia tu kataksiii wakati wengine wana mashangingi!!!!!!!!

No comments: