Friday, July 25, 2008

Kazi za Michuzi Jr..


Picha mwanana ya Sendoff ya Bi Harusi mtarajiwa Brenda(Kulia) akisaidiwa na matroni wake kukata keki Kwenye Sendoff yake iliyofanyika jana jioni ndani ya ukumbi wa Makuti-Msasani Beach-Kawe jijini Dar es Salaam.Kwa wale wadau watakaopenda kupata picha za uhakika kwenye matukio mbalimbali ya Harusi,Sendoff nk,Msisite kuwasiliana Mdau Ahmed Michuzi
Kupitia E-mail:amichuzi@gmail.com au kwa simu number 0713 422 313.mtwangie leo na mweleze umeona Tangazo lake kupitia Blog hii upate punguzo la % flani.
Nyote Mnakaribishwa....!!

No comments: