Tuesday, July 15, 2008

kanumba na ray waduarika njenje
mdau john kitime anafurahia jinsi kanumba anavyopapasa kinanda, akisema endapo kazi ya kucheza sinema itaota mbawa atajimwaga kwenye bolingo

waziri ally akiduarika na ray na kanumba wikiendi hii. ngoma inogile msasani club ambapo wadau kibao hujazana kila jumamosi usiku kunjenjeruka

No comments: