Thursday, May 29, 2008

Ziara ya Waziri Mkuu Muhimbili....


Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimpa pole mtoto Kazija Abdallah (kushoto) ambaye kalazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo katika hospitali hiyo.Kushoto kwake ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Profesa David Mwakyusa na kulia ni Daktari wa magonjwa ya moyo katika hospitali hiyo, Philly Chillo.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments: