Saturday, May 31, 2008

Wanaongoza wageni !!!

Ila inauma sana ila sijui kama tutashinda gemu hii ila ndio wageni wanaongoza kwa sasa ila lolote laweza kutokea ila goli limeingia dakika ya 39 na pia kwa sasa mpira ni dakika ya 42 !!

No comments: