Wednesday, May 28, 2008

Tenda Wema Uwende Zako...


Mdau David Silaa wa Uswazi anasema.'' Hali inazidi kuwa mbaya jijini Dar es salaam Usafiri nao ni tatizo kubwa huku serikali na mamlaka husika zikiwa kimya tuliwahi kuahidiwa mabasi yaendayo kasi kama (umeme) ila mpaka leo hakuna dalili ya kasi....waathirika wakubwa ni wanafunzi kama muonavyo pichani ni leo asubuhi maeneo ya Kigogo Msamaria mwema alipojitolea kuwapa lift wanafunzi hawa baada ya kushindwa kupata usafiri mapema wa kuwahi shule huku vikwanzo vikubwa vikiwa ni makondakta wa mabasi na madereva kuwanyanyasa wanafunzi kila kukicha.,Nini kifanyike wadau Maana hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku huku mamlaka husika zikiwa kimyaa
kabisa..
Mdau
David Silaa na Haki ngowi.

No comments: