Saturday, May 31, 2008

Ajali Ya Ndege


Honduras jana Ijumaa. Ndege hii katika kutua imeacha njia yake na kuingia barabarani. Watu wanne wamefariki dunia na wengine 81 kunusurika. Naam. Ugumu wa ndege ni kwenye kupaa, kutua itatua tu,kwa njia moja au nyingine.

No comments: