Friday, May 30, 2008

Mamlaka husika tupieni Macho Swala hili..


Pichani ni Abiria waendao maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam,kutoka Posta Mpya, wakipanda gari kupitia mlango wa nyuma na wale wanaoshuka kutumia mlango wa kawaida kutokana na shida ya magari(Mabasi) yaendayo maeneo hayo nyakati za mchana jana. Picha na Kassim Mbarouk.

No comments: