Friday, May 30, 2008

Mambo Mapya ya Air Tanzania...



Wahudumu wapya katika Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), wakiwa katika sherehe maalum ya kumaliza mafunzo na kukabidhiwa vyeti iliyofanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya shirika hilo jijini Dar es Salaam jana.Wahuduma hao, wanatarajiwa kuanza kazi muda wowote kwanzia sasa.Picha na Athuman Hamisi/TSN

No comments: