Friday, May 30, 2008

Mtuhumiwa..


Mtuhumiwa pekee wa kike ambaye ametambuliwa na shahidi jane Andrew akitolewa mahakamani juzi wakati mashahidi wakiendelea kutoa ushahidi wao kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini waliouawa Januari 14, 2006 jijini Dar es Salaam.Picha na Mpoki Bukuku

No comments: