Friday, May 30, 2008

Mtoto Mwenye Upungufu wa Viungo Azaliwa....


Binti aliyefahamika kwa jina la Foibe Shedrack Kusaga (22) Pichani,mkazi wa kijiji cha Igando Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma,amejifungua mtoto wa ajabu ambaye hana mkono wala miguu

No comments: