Saturday, March 28, 2009

Mahunda: Urais Hausomewi, Dj Kachukua Nchi!

"...ndugu zangu,uwaziri hausomewi..." Haya ni maneno ya Mh.Kikwete wakati akitangaza baraza la mawaziri mwaka 2005.Hata urais hausomewi.Ingawa kwa hapa kwetu inahitajika shahada yoyote(si mimi ndivyo ilivyo).
Huko Madagaska DJ amechukua nchi,nna imani ataweza kama wenyewe wamemtaka kwa utaratibu wao,UKIZINGATIA HAUSOMEWI..Imeletwa na Clarence Mahunda, Hale, Tanga.

No comments: