Tuesday, March 17, 2009


Mwenyekiti wa muda wa Chama kipya cha siasa kitakachojulikana kama People Democratic Movement (PDM), Joseph Minja (Mwana Anga) akionyesha bendera ya chama chake hicho, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi kukizindua mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

No comments: