Wednesday, March 18, 2009

Mahojiano ya Nakaaya na CNN Inside Africa

Mwanamuziki Nakaaya Sumari jana alionekana kwenye kipindi cha CNN Inside Africa, si kitu kigeni lakini kwa wanamuziki tena muziki wa Kizazi kipya ambao ulianza kwa kutokukubalika haya ni mafanikio makubwa sana kisanaa na kisanii pia.Nakayaa aliongea nini au alihojiwa nini?Nenda Spoti na Starehe upate kujua

No comments: