Wednesday, March 18, 2009

BONGO STAR SEARCH TABORA YAFANA

mamia ya washiriki wakiwa kwenye foleni ya kujiandikisha tayari kwa usaili
Kutoka kushoto majaji Master J, P-Funk and Elihuruma Ngowi wakiwa klabu ya Voice of Tabora (zamani Klabu Rufita) kwenye radio ya Voice of Tabora (VOT) FM 89.0 wakiongelea kuhusu BSS Tabora 2009.

Washindi wa BSS Tabora (wenye T-shirt nyeupe) kutoka kushoto: Shaban Mrisho, Leah Julius, Rajab Miraj na Kayombe Khamis wakiwa kwenye picha ya pamoja na Meneja Huduma na Bidhaa wa Vodacom, Elihuruma Ngowi (kati) mara baada ya kutangazwa kuwa washindi Jumapili, Mach 15, 2009.

No comments: