Friday, March 13, 2009

libekene la nauli mpya
konda ambaye alitaka kuleta za kuleta akiwa amezungukwa na abiria wasiotaka mchezo baada ya kutaka kuwatoza nauli ya zamani ya sh'ngi 300 badala ya sh'ng 250/- kwa madai hajapewa taarifa rasmi zaidi ya kusikia kwenye globu ya jamii... (ops! sore) ... vyombo vya habari

No comments: