Saturday, March 28, 2009

gari linapodumbukia barabarani dar
wasamaria wema wakijaribu kulichoropoa gari lililodumbukia kwenye shimo karibu na hellenic club kutokana na vifuniko vya mifereji ya maji kukosekana. watu wengi wameumia na kuharibu mali zao kwa tatizo hili ambapo wakati wa mvua shimo hulioni unastukia pwaaa!



No comments: