Saturday, March 28, 2009

Mh. Chenge katika msukosuko wa ajali yake
Kamanda wa Trafiki Dar afande Mohamed Mpinga (shoto) na Naibu Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai afande Peter Kivuyo (kati) na Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh. Andrew Chenge wakielekea sehemu iliyotokea ajali ambapo gari alilokuwa akiendesha Mh. Chenge liligongana na Bajaji Ijumaa alfajiri na kusababisha vifo vya abiria wasichana wawili.
Mh. Chenge akieleza ajali ilivyotokea

gari alilokuwa akiendesha Mh. Chenge
Bajaji iliyogongana na gari la Mh. Chenge

Kwa habari kamili

No comments: