Wednesday, March 18, 2009

JK akutana na Raila Odinga London
JK akisalimiana na Waziri Mkuu wa Kenya Mh. Raila Odinga walipokutana kwa mazungumzo jijini London. Wote walialikwa na serikali ya Uingereza katika mkutano maalumu wa Afrika na mataifa makubwa kabla ya mkutano wa G-20

No comments: