Saturday, March 28, 2009

Heshima kwako ,
Hongera kwa libeneke lako! Naomba unitundikie hiyo mandahari ya hapa Durban Beach kama mfano wa kuigwa na wazee wa jiji hapo Dar ili kumuunga mkono JK katika juhudi za kuwaamsha wazee hao wapendezeshe miji yao !!
Ahsante
Mdau Mhandisi,
Sauzi

No comments: