Wednesday, March 4, 2009

kocha wa vijana afungasha virago
kocha wa timu ya taifa ya vijana kutoka brazil marcus tinocco (pichani akikagua timu ya vijana wakati wa copa coca cola mwaka jana, dar) ameliandikia shirikisho la soka nchini (TFF) barua ya kujiuzuru nafasi hiyo kwani amepata kibarua kipya huko trinidad and tobago kufundisha timu ya daraja la pili ya huko.
globu ya jamii imethibitisha kwamba tinocco aliitoa barua hiyo hata kabla ya taifa stars kwenda ivory coast kwenye michuano ya CHAN, ambapo ndiyo kusema hatuna tena kocha mtaalamu wa timu ya taifa ya vijana.

No comments: