wavuvi haramu kizimbani dar leo
-----------------------------------
PS: Kijana aliyempiga kofi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi naye ameletwa mahakamani hapo asubuhi hii na kusimama mbele ya hakimu mkazi Mh. Neema Chusi.
Baada ya kusomewa shtaka, mtuhumiwa alikiri kumshambulia aliyekuwa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kwa kumpiga kofi shavu la kushoto Machi 10, 2009 katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar.
Mwendesha Mashtaka Monica Mboga (Wakili wa Serikali): Je Ni kweli ama si kweli?
Ibrahim Saidi a.k.a Sultan a.k.a Ustaadh: Ni kweli
No comments:
Post a Comment