Tuesday, March 17, 2009

Mzee Sitta na Sumaye..
Pichani ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganow a Tanzania Mheshimiwa Samwel Sitta(Kushoto) akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Fredrick Sumaye mjini Dodoma Hivi karibuni kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM)

No comments: