Wednesday, March 4, 2009

taifa stars yatua dar leo
beki wa taifa stars shardack nsajigwa akiongea mara tu baada ya kutua dar leo0 wakitokea ivory coast
kiongozi wa msafara waziri wa nchi ofisi ya maikamu wa rais mh. muhammas seif khatibu akiongea mara bazada ya taifa stars kutua leo dar

kocha marci maximo akiongea na katibu mkuu wa tff frederick lameck lugano mwakalebela

No comments: