Wednesday, March 4, 2009

ujumbe toka kwa ndugu zetu albino
Afisa Habari wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania,wa pili kutoka kushoto Matina Nkurlu akiwa na walemavu wa ngozi(Albino)wakionyesha ujumbe wao kwa jamii ya kitanzania kwa kutumia mabango katika viwanja vya chuo cha ushirika Moshi wakati wa mbio za kili marathoni mwishoni mwa wiki. Vodacom imekuwa mstari wa mbele kusaidia walemavu wa ngozi kwa misaada mbalimbali

No comments: