Wednesday, March 11, 2009

tujadili dual citizenship na wachezaji kama kali ongalla
Kali Ongala akifanya vitu vyake akiwa na timu yake ya GIF Sundsvall ya Sweden.

Pengine ndio mchezaji pekee mwenye asili ya Kitanzania aliyewahi kuchezea daraja la juu zaidi kuliko wote Tanzania. Akiwa mmiliki wa passport ya Kiingereza lakini katika profile yake anawakilishwa na bendera ya Tanzania.

Je TFF inamipango gani madhubuti kuhusiana na Wachezaji kama hawa ambao ukweli bado wanamapenzi na ndoto za kuchezea Taifa Stars?

Je serikali haioni umuhimu wa kuipitisha sera ya Dual Citizenship ambayo itawapa mwanya wachezaji kama hawa kurudi na kuiwakilisha nchi.
Wadau hii imekaaje?
Mdau Marekani

1 comment:

Anonymous said...

my husband.Love you bby