Mradi wa Maji Safi Wilayani
Bukombe..
----------
Makamu wa Rais Dk.Ali Mohamed Shein,amezindua mradi wa maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji cha Bwerwa Wilayani Bukombe wakati alipokuwa katika ziara yake ya kukagua na kuangalia miradi ya maendeleo Wilayani humo.
Jumla yashilingi milioni 51.7 zimetumika katika kukarabati mradi huo ambapo Makamu wa Rais ameahidi kuchangia shilingi milioni 1.5 kusaidia mfuko wa kikundikinachosimamia mradi huo.
No comments:
Post a Comment