Friday, July 18, 2008

jk ziarani tanga

JK akiongea na wakazi wa wilkaya ya Lushoto muda mfupi baada ya kufungua jengo jipya la huduma ya nje(Out patients Department OPD) katika hospitali ya wilaya ya Lushoto.Jengo hilo limejengwa kwa msaada wa Serikali ya Ujerumani.
JK akiangalia bidhaa katika soko jipya la soni
JK akigana na baadhi ya wanafunzi walioshuhudia ufunguzi wa soko jipya la kisasa katika kijiji cha Soni,Wilayani Lushoto
JK akiiangalia Karoti muda mfupi baada ya kufungua soko katika kijiji cha Soni,wilaya ya Lushoto,mkoa wa Tanga.

JK akiagana na baadhi ya wahudumu wa afya na madaktari wa Hospitali ya Wilaya ya Lushoto baada ya kufungua jengo la OPD katika hospitali hiyo jana mchana.Rais Kikwete yupo mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi kukagua na kufungua miradi ya maendeleo pamoja na kuongea na wanachi ili kujua kero zao na mafanikio

JK akiongea na meneja wa mradi wa afya wa Serikalki ya Ujerumani wa kuisadia Tanzania Dr.Bergis Schmidt-Ehry muda mfupi baada ya kufungua jengo la OPD katika hospitali ya wilaya ya Lushoto.Jenmgo Hilo limejengwa kwa msaada wa Serikali ya Ujerumani.

No comments: