cosota kutoa mirabaha leo
Shughuli hiyo itafanyika katika ukumbi wa Dar es salaam International Conference Centre ulioko PPF Tower. Mgeni rasmi katika hafla hiyo atakuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko Dkt. Stergomena L. Tax.
Imetolewa na:-
Afisa Mtendaji Mkuu,
Chama cha Hakimiliki Tanzania,
S.L.P 6388,
Dar es salaam.
Simu: +255-22-2125981
Nukushi: +255-22-2125982
Barua pepe: cosota@intafrica.com
Tovuti: www.cosota-tz.org
No comments:
Post a Comment