Friday, July 18, 2008

warembo wa vodacom miss tz 2008 butiama
warembo wakipata maelezo juu ya nyumbani kwa mwalimu butiama
chifu wanzagi akiongea na warembo butiama
mamiss na msafara wao wakipata maelezo ya nyumba za butiama
mamiss wakizunguka kuangalia mandhari nzuri ya kijijini butiama
warembo wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la baba wa taifa butiama
hii ziara ya butiama ni mojawapo ya shughuli ambazo watembo hawa wamekuwa wanazifanya katika ziara yao ya wiki moja jijini mwanza wakati wakijiandaa kupanda jukwaani kesho usiku kwenye ukumbi wa nssf kushindania taji la balozi wa redds. ziara hii imefadhiliwa na kuratibiwa na kilaji cha redds premium cold kinachotengenezwa na tanzania breweries limited

No comments: