zantel yafungua duka mwanza
Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Luteni Kanali Mstaafu Serenge Mrengo, akikata utepe kufungua rasmi duka la Zantel Mwanza. Pembeni yake ni Mkuu wa Kitengo cha mauzo Zantel, Deo Kwiyukwa.
Luteni Kanali Mstaafu Serenge Mrengo, akipata maelezo ya huduma ya kasi ya intaneti kutoka kwa Mathew Shayo wa kitengo cha Huduma kwa Wateja
No comments:
Post a Comment