Friday, May 15, 2009

Mwanafunzi Rebeca Abdalah.


Mwanafunzi Rebeca Abdalah (13) wa Shule ya Msingi Mbagala Kuu, aliyeathiriwa na milipuko ya mabomu na kumsababishia matatizo ya kutosikia vizuri, moyo kwenda mbio na kuumwa na kichwa kila wakati akiwa nje ya darasa wakati wenzake wakicheza.

Picha na Fredy Azzah

No comments: