Friday, May 15, 2009

Msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu uchaguzi wa Zanzibar .


Bunge la Umoja wa Ulaya mjini Strasbourg
************
Wakati Zanzibar inaelekea katika heka heka za uchaguzi mkuu wa mwakani, Umoja wa Ulaya umesema unajiandaa kuhakikisha kwamba uchaguzi huo utakuwa huru na wa haki, na matakwa ya wananchi yanaheshimiwa.

Kauli hiyo imekuja wakati Umoja huo ukisheherekea kuundwa kwake miaka 49 iliopita na ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni kuhimiza ubunifu na uvumbuzi.
Mwandishi wetu wa Zanzibar, Salma Said.

No comments: