Friday, May 15, 2009

CHAKACHAKA KIBOKO

Hapa alipokuja bongo siku za karibuni!!











Pamoja na kuhuzunishwa lakini baadae alipagawisha watu wa Mtwara kichizi ,cheki aliweza akumchezesha mpaka afande!!




CHAKACHAKA AMWAGA CHOZI





Yvonne Chakachaka akibubujikwa na machozi baada ya kutembelea wodi ya watoto katika hospitali ya mkoa wa Mtwara juzi na kupata taarifa ya mama aliyemleat mtoto aliyeugua malaria na baadae kulazwa kabala ya kufa. mama huyo alilazimika kumbeba marehemu mwanane mgongoni na kurudi kijijini kwao kwa kukosa uwezo wa kumsafirisha!!!! Ndio mambo ya Bongo. Chakachaka ambaye ni balozi wa maralia alijitolea gari moja ili kusaidia wamama kama hao!

No comments: