Friday, May 15, 2009

ndinga mpya kwa maendeleo bonde la ziwa tanganyika
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Batilda Burian akizinduwa Gari Kwajili ya Mradi Endelevu ya Hifadhi ya Bonde la Ziwa Tanganyika Kulia Mkurugenzi UNDP Tanzania Bw Alain Noudehou, Katibu Mkuu Ofisi wa Makamu wa Rais Bi Ruth Mollel na Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Shabaani Mwinjaka iliyofanyika leo Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam. Picha na mdau Ali Meja

No comments: