Friday, May 15, 2009

Miss IFM 2009 kupatikana Leo dar
Kuanzia kulia ni mwakilishi wa Mwasu Fashions Bw.Sam Mshana,Manakamati wa Miss IFM 2209 Bw.Sarungi Daniel,Mwenyekiti wa miss IFM 2009 Peter Sarungi pamojana Mjumbe Bw.Lazaro Lutobeka walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar kuhusiana na shindano hilo la Miss IFM 2009 ambalo Leo usiku ndio itampata kinara wa shindano hilo litakalofanyika ndani ya ukumbi wa New Msasani club,Kinondoni Jijini Dar.

Shindano hilo lenye mvuto wa kipekee hasa kutokana na warembo wake wote kuwa fiti kila idara, litaleta ushindani na changamoto mpya katika mchakato mzima wa kumpata mlimbwende wa kuiwakilisha MissTanzania katika ngazi ya Taifa 2009.
Juu na chini warembo wa Miss IFM 2009 wakijifua katika ukumbi wa Break point ya mjini

No comments: