Friday, May 15, 2009

mpiganaji athumani hamisi aendelea vyema
mpiganaji athumani hamisi akila pozi na wapiganaji wenzie waliomtembelea katika hospitali ya netcare rehabilitation jijini johannesburg. kutoka shoto nyuma ni joseph kulanga (mhariri mkuu wa habari leo), japhet sanga (mhariri wa habari daily news) freddy maro (mdau wa ikulu) mdau alimwene mwakyusa, john lukuwi (mdau wa maelezo) na ben apiyo ambaye ni mtoto wa mzee timothy apiyo aliyekuwa katibu mkuu ofisi ya rais ambaye anauguzwa hospitalini hapo. hivi sasa athumani ameshapona majeraha kilichobaki ni mazoezi ya viungo ya 'mama cheza' katika hospitali hiyo

No comments: