Friday, May 15, 2009

Baadhi ya waathirika wa milipuko ya mabomu iliyotokea hivi karibuni Mbagala.

Baadhi ya waathirika wa milipuko ya mabomu iliyotokea hivi karibuni Mbagala, Dar es Salaam wakipata msaada wa chakula kilichotolewa na Taasisi ya Kiislamu jana. Zaidi ya kaya 500 zilifaidika na msaada huo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni nne.

Habari Na Picha Kwa Hisani: HabariLeo

No comments: